iqna

IQNA

kanisa katoliki
TEHRAN (IQNA)- Aliyekuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict wa 16, amefariki dunia leo Jumamosi, akiwa na umri wa miaka 95.
Habari ID: 3476335    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31

Jinai za Kanisa
TEHRAN (IQNA)- Hatimaye, baada ya kusubiri kwa muda mrefu, Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki, amekwenda Kanada (Canada) na kuomba msamaha kwa wenyeji asilia wa nchi hiyo kutokana na kuhusika kanisa hilo katika moja ya jinai na maafa mabaya zaidi ya kibinadamu nchini humo.
Habari ID: 3475545    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27

Uislamu na Ukriso
TEHRAN (IQNA)- Mkurugenzi wa Vyuo vya Kiislamu nchini Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani na kumkabidhi ujumbe wa maneno kutoka kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3475324    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01